forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
827 B
Markdown
32 lines
827 B
Markdown
# Hivyo wakakaribia
|
|
|
|
"Kwa hiyo Mishaeli na Elzafani wakakaribia"
|
|
|
|
# kuwachukua wangali wamevaa kanzu zao za kikuhani
|
|
|
|
Waliibeba miili ya Nadabu na Abihu, ambayo ilikuwa ingali kwenye kanzu za kikuhani
|
|
|
|
# Eliezari...Ithamari
|
|
|
|
Haya ni majina ya wana wa Aroni.
|
|
|
|
# Msiache wazi nywele za vichwa vyenu, wala msirarue nguo zenu,
|
|
|
|
Yahweh anawaambia Aroni na wanawe wasionyeshe ishara yoyote ya nje ya huzuni au kuomboleza.
|
|
|
|
# ili kwamba msije mkafa
|
|
|
|
"ili kwamba msife"
|
|
|
|
# asilikasirikie kusanyiko zima
|
|
|
|
"Kusanyiko" hapa humaanisha kutaniko zima la Israeli, siyo kikundi cha viongozi tu. : "asiwakasirikie watu wote wa Israeli"
|
|
|
|
# nyumba yote ya Israeli
|
|
|
|
"Nyumba" hapa huwakilisha watu wa Israeli. "watu wote wa Israeli"
|
|
|
|
# kwa ajili ya hao ambao Yahweh amewaangamiza kwa moto
|
|
|
|
"kwa ajili ya wale ambao Yahweh aliwaua kwa moto wake"
|