forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
834 B
Markdown
32 lines
834 B
Markdown
# Taarifa kwa ujumla
|
|
|
|
Yahweh anaendelea kumwambia musa kwamba watu hao na makuhani yawapasa wafanye hivyo ili sadaka zao ziweze kukubalika kwake
|
|
|
|
# ililofanywa kwa vitu hivi
|
|
|
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "ulioutengeneza kutokana na unga na mafuta"
|
|
|
|
# nayo itawasilishwa
|
|
|
|
Yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Utaiwasilisha"
|
|
|
|
# Ndipo kuhani... ifanywayo kwa moto.
|
|
|
|
Kwa ajili ya2:9-10 tazama maelezo ya sura ya 2:1
|
|
|
|
# sadaka ya kuwakilisha
|
|
|
|
Tazama maelezo ya sura ya 2:1
|
|
|
|
# Itakuwa sadaka kuiliyofanywa kwa moto
|
|
|
|
Hii inaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "Itakuwa sadaka ya kuiteketeza"
|
|
|
|
# italeta harufu ya kupendeza kwa Yahweh
|
|
|
|
Tazama maelezo ya sura 1:7
|
|
|
|
# kutoka kwenye sadaka ifanywayo kwa Yahweh kwa moto
|
|
|
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "kutoka kwenye sadaka ya kuiteketeza kwa Yahweh"
|