|
# na waliishinda nchi
|
|
|
|
Walikuwa wamewashinda watu walioishi katika nchi kabla hawajaweka hema la kukutania.
|
|
|
|
# yalikuwa bado hayajapewa urithi wao
|
|
|
|
Nchi ambayo watu watairithi inaongelewa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao wangeupokea kama mali yao ya kudumu.
|