sw_tn/jos/18/01.md

261 B

na waliishinda nchi

Walikuwa wamewashinda watu walioishi katika nchi kabla hawajaweka hema la kukutania.

yalikuwa bado hayajapewa urithi wao

Nchi ambayo watu watairithi inaongelewa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao wangeupokea kama mali yao ya kudumu.