forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
337 B
Markdown
16 lines
337 B
Markdown
# Basi
|
|
|
|
Neno hili limetumika hapa kuonesha pumziko katika habari kuu. Hapa mwandishi anaanza kutoa maneno ya nyuma.
|
|
|
|
# hawa ni wafalme
|
|
|
|
inawarejelea orodha ya wafalme na inaendelea mpaka katika mstari wa 24
|
|
|
|
# Araba... Aroeri
|
|
|
|
Haya ni majina ya mahali/sehemu
|
|
|
|
# Sihoni... Heshiboni
|
|
|
|
Tafsiri maneno haya kama vile ulivyofanya katika 9:9
|