sw_tn/jos/12/01.md

16 lines
337 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Basi
Neno hili limetumika hapa kuonesha pumziko katika habari kuu. Hapa mwandishi anaanza kutoa maneno ya nyuma.
# hawa ni wafalme
inawarejelea orodha ya wafalme na inaendelea mpaka katika mstari wa 24
# Araba... Aroeri
Haya ni majina ya mahali/sehemu
# Sihoni... Heshiboni
Tafsiri maneno haya kama vile ulivyofanya katika 9:9