sw_tn/jos/12/01.md

337 B

Basi

Neno hili limetumika hapa kuonesha pumziko katika habari kuu. Hapa mwandishi anaanza kutoa maneno ya nyuma.

hawa ni wafalme

inawarejelea orodha ya wafalme na inaendelea mpaka katika mstari wa 24

Araba... Aroeri

Haya ni majina ya mahali/sehemu

Sihoni... Heshiboni

Tafsiri maneno haya kama vile ulivyofanya katika 9:9