sw_tn/jos/10/40.md

307 B

Hakuna hata mfalme moja aliyebaki hai kati ya wafalme wake wote

virai hivi viwili vina maana sawa na vinatia mkazo juu uharibifu halisi ambao watu Israeli walikuwa wameagizwa naYahweh.

Yoshua aliwaua kwa upanga

upanga unawakilisha jeshi la Israeli na kuwaua ina maanaya wazo la kuwaua na kuwaharibu.