sw_tn/jos/10/40.md

8 lines
307 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Hakuna hata mfalme moja aliyebaki hai kati ya wafalme wake wote
virai hivi viwili vina maana sawa na vinatia mkazo juu uharibifu halisi ambao watu Israeli walikuwa wameagizwa naYahweh.
# Yoshua aliwaua kwa upanga
upanga unawakilisha jeshi la Israeli na kuwaua ina maanaya wazo la kuwaua na kuwaharibu.