forked from WA-Catalog/sw_tn
569 B
569 B
Maelezo ya jumla
Yoshua anafuata agizo la Yahweh la kuwaleta Waisraeli mbele za Yahweh.
aliwaleta Israeli karibu
Maneno "kabila kwa kabila" lina maana ya kila kabila.
Kabila la Yuda lilichaguliwa
Maneno haya yanaweza kuelezwa kawa muundo tendaji. "Yahweh alilichagua kabila la Yuda"
Akausogeza karibu ukoo wa Zera mtu kwa mtu,
kirai "mtu kwa mtu" ina maana ya kila mtu. Watu katika sentensi hii walikuwa ni viongozi wa nyumba zao.
ukoo wa Zera
Ukoo uliitwa kawa jina la mtu aliyeitwa Zera
Zabdi...Akani...Karmi...Zera
Haya ni majina ya wanaume.