sw_tn/jos/07/16.md

569 B

Maelezo ya jumla

Yoshua anafuata agizo la Yahweh la kuwaleta Waisraeli mbele za Yahweh.

aliwaleta Israeli karibu

Maneno "kabila kwa kabila" lina maana ya kila kabila.

Kabila la Yuda lilichaguliwa

Maneno haya yanaweza kuelezwa kawa muundo tendaji. "Yahweh alilichagua kabila la Yuda"

Akausogeza karibu ukoo wa Zera mtu kwa mtu,

kirai "mtu kwa mtu" ina maana ya kila mtu. Watu katika sentensi hii walikuwa ni viongozi wa nyumba zao.

ukoo wa Zera

Ukoo uliitwa kawa jina la mtu aliyeitwa Zera

Zabdi...Akani...Karmi...Zera

Haya ni majina ya wanaume.