forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
569 B
Markdown
24 lines
569 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Yoshua anafuata agizo la Yahweh la kuwaleta Waisraeli mbele za Yahweh.
|
||
|
|
||
|
# aliwaleta Israeli karibu
|
||
|
|
||
|
Maneno "kabila kwa kabila" lina maana ya kila kabila.
|
||
|
|
||
|
# Kabila la Yuda lilichaguliwa
|
||
|
|
||
|
Maneno haya yanaweza kuelezwa kawa muundo tendaji. "Yahweh alilichagua kabila la Yuda"
|
||
|
|
||
|
# Akausogeza karibu ukoo wa Zera mtu kwa mtu,
|
||
|
|
||
|
kirai "mtu kwa mtu" ina maana ya kila mtu. Watu katika sentensi hii walikuwa ni viongozi wa nyumba zao.
|
||
|
|
||
|
# ukoo wa Zera
|
||
|
|
||
|
Ukoo uliitwa kawa jina la mtu aliyeitwa Zera
|
||
|
|
||
|
# Zabdi...Akani...Karmi...Zera
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanaume.
|