sw_tn/jos/05/13.md

434 B

aliinua macho

Hapa, neno kuinua macho linazungumziwa kana kwamba Yoshua aliinua macho yake dhahiri katika mikono yake. Maneno haya yana maana ya "aliaangalia juu"

tazama

Neno "tazama" linalotoa tahadhari kwetu ili tuweze kuzingatia kwa namna ya kipekee kwa maelezo mapya.

alikuwa amechomoa upanga wake na ulikuwa mkononi mwake

Kiwakilishi 'a' na kimilikishi 'wake' yanmrejelea mtu yule aliyekuwa amesimama mbele ya Yoshua.