forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
434 B
Markdown
12 lines
434 B
Markdown
|
# aliinua macho
|
||
|
|
||
|
Hapa, neno kuinua macho linazungumziwa kana kwamba Yoshua aliinua macho yake dhahiri katika mikono yake. Maneno haya yana maana ya "aliaangalia juu"
|
||
|
|
||
|
# tazama
|
||
|
|
||
|
Neno "tazama" linalotoa tahadhari kwetu ili tuweze kuzingatia kwa namna ya kipekee kwa maelezo mapya.
|
||
|
|
||
|
# alikuwa amechomoa upanga wake na ulikuwa mkononi mwake
|
||
|
|
||
|
Kiwakilishi 'a' na kimilikishi 'wake' yanmrejelea mtu yule aliyekuwa amesimama mbele ya Yoshua.
|