sw_tn/job/39/11.md

335 B

Maelezo ya jumla

Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu

waweza kumtumaini...uwanda wako wa kupuria

Yahweh anatumia maswali haya ili kutia mkazo kwamba Ayubu hawezi kuwatawala nyati.

kumtumaini

Kiambishi 'm' kinamrejelea 'nyati"

kumwachia kazi yako ili aifanye

"umwachie yeye aifanye kazi yako ngumu kwa ajili yako"