forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
335 B
Markdown
16 lines
335 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu
|
||
|
|
||
|
# waweza kumtumaini...uwanda wako wa kupuria
|
||
|
|
||
|
Yahweh anatumia maswali haya ili kutia mkazo kwamba Ayubu hawezi kuwatawala nyati.
|
||
|
|
||
|
# kumtumaini
|
||
|
|
||
|
Kiambishi 'm' kinamrejelea 'nyati"
|
||
|
|
||
|
# kumwachia kazi yako ili aifanye
|
||
|
|
||
|
"umwachie yeye aifanye kazi yako ngumu kwa ajili yako"
|