sw_tn/job/39/11.md

16 lines
335 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Maelezo ya jumla
Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu
# waweza kumtumaini...uwanda wako wa kupuria
Yahweh anatumia maswali haya ili kutia mkazo kwamba Ayubu hawezi kuwatawala nyati.
# kumtumaini
Kiambishi 'm' kinamrejelea 'nyati"
# kumwachia kazi yako ili aifanye
"umwachie yeye aifanye kazi yako ngumu kwa ajili yako"