sw_tn/job/38/28.md

720 B

Maelezo ya jumla

Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu.

Je kuna baba wa mvua? Ni nani aliyeyafanya matone ya umande?

Yahweh anatumia maswa haya kukazia kwamba Ayubu hafahau jinsi Yahweh anavyoitengeneza mvua, umande, barafu, na theluji

Je kuna baba wa mvua?

Yahweh anaiongelea mvua kana kwamba alikuwa ni mtu.

aliyeyafanya

kazi ya baba katika kumfanya mtoto azaliwe

matone ya umande

matone ya umande ambayo huunda mtonesho katika mmea na katika vitu vingine

Na ni nani aliyeizaa theluji nyeupe

"ambaye ameizaa theluji nyeupe"

Maji hujificha menyewe

katika kipindi cha masika barafu huficha maji chini yake.

vilindi

Hii hurejelea maji ya kina kirefu kama vile maziwa, mito, na bahari