forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
720 B
Markdown
32 lines
720 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu.
|
||
|
|
||
|
# Je kuna baba wa mvua? Ni nani aliyeyafanya matone ya umande?
|
||
|
|
||
|
Yahweh anatumia maswa haya kukazia kwamba Ayubu hafahau jinsi Yahweh anavyoitengeneza mvua, umande, barafu, na theluji
|
||
|
|
||
|
# Je kuna baba wa mvua?
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaiongelea mvua kana kwamba alikuwa ni mtu.
|
||
|
|
||
|
# aliyeyafanya
|
||
|
|
||
|
kazi ya baba katika kumfanya mtoto azaliwe
|
||
|
|
||
|
# matone ya umande
|
||
|
|
||
|
matone ya umande ambayo huunda mtonesho katika mmea na katika vitu vingine
|
||
|
|
||
|
# Na ni nani aliyeizaa theluji nyeupe
|
||
|
|
||
|
"ambaye ameizaa theluji nyeupe"
|
||
|
|
||
|
# Maji hujificha menyewe
|
||
|
|
||
|
katika kipindi cha masika barafu huficha maji chini yake.
|
||
|
|
||
|
# vilindi
|
||
|
|
||
|
Hii hurejelea maji ya kina kirefu kama vile maziwa, mito, na bahari
|