forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
552 B
Markdown
24 lines
552 B
Markdown
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Elihu anaendelea kuongea na Ayubu
|
|
|
|
# kisha
|
|
|
|
"kama matokeo ya ombi la malaika kwa Mungu"
|
|
|
|
# mwili wake utakuwa mororo kuliko mwili wa mtoto
|
|
|
|
"mwili wa mtu mgonjwa utakuwa mpya tena kama mwili wa mtu mdogo"
|
|
|
|
# atazirudia siku za nguvu za ujana wake.
|
|
|
|
"atakuwa na nguvu tena"
|
|
|
|
# auone uso wa Mungu akiwa mwenye furaha
|
|
|
|
"humwabudu Mungu kwa furaha"
|
|
|
|
# Mungu atampa mtu ushindi wak
|
|
|
|
"Mungu atamwokoa mtu" au "Mungu atayafanya mambo ya mtu kuwa sawa" Hii pia yaweza kumaanisha kwamba mtu anatangaza kwa wengine jinsi Mungu alivyomwokoa.
|