sw_tn/job/33/25.md

552 B

Maelezo ya jumla

Elihu anaendelea kuongea na Ayubu

kisha

"kama matokeo ya ombi la malaika kwa Mungu"

mwili wake utakuwa mororo kuliko mwili wa mtoto

"mwili wa mtu mgonjwa utakuwa mpya tena kama mwili wa mtu mdogo"

atazirudia siku za nguvu za ujana wake.

"atakuwa na nguvu tena"

auone uso wa Mungu akiwa mwenye furaha

"humwabudu Mungu kwa furaha"

Mungu atampa mtu ushindi wak

"Mungu atamwokoa mtu" au "Mungu atayafanya mambo ya mtu kuwa sawa" Hii pia yaweza kumaanisha kwamba mtu anatangaza kwa wengine jinsi Mungu alivyomwokoa.