sw_tn/job/33/08.md

12 lines
275 B
Markdown

# Maelezo ya jumla
Elihu anaendelea kuongea na Ayubu
# nimeisikia sauti ya maneno yako yakisema
"Nimekusikia ukisema"
# 'Mimi ni safi na bila hila; sina hatia, na hakuna dhambi ndani yangu.
Maelezo yote haya yanamaanisha kitu kile kile. "Mimi sina hatia ya kosa lolote"