sw_tn/job/33/08.md

12 lines
275 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Maelezo ya jumla
Elihu anaendelea kuongea na Ayubu
# nimeisikia sauti ya maneno yako yakisema
"Nimekusikia ukisema"
# 'Mimi ni safi na bila hila; sina hatia, na hakuna dhambi ndani yangu.
Maelezo yote haya yanamaanisha kitu kile kile. "Mimi sina hatia ya kosa lolote"