sw_tn/job/33/08.md

275 B

Maelezo ya jumla

Elihu anaendelea kuongea na Ayubu

nimeisikia sauti ya maneno yako yakisema

"Nimekusikia ukisema"

'Mimi ni safi na bila hila; sina hatia, na hakuna dhambi ndani yangu.

Maelezo yote haya yanamaanisha kitu kile kile. "Mimi sina hatia ya kosa lolote"