Maelezo ya jumla
Elihu anaendelea kuongea na Ayubu
nimeisikia sauti ya maneno yako yakisema
"Nimekusikia ukisema"
'Mimi ni safi na bila hila; sina hatia, na hakuna dhambi ndani yangu.
Maelezo yote haya yanamaanisha kitu kile kile. "Mimi sina hatia ya kosa lolote"