sw_tn/job/31/11.md

434 B

Maelezo ya jumla

Ayubu anaendelea kufafanua hali ambazo alistahili kupata hukumu ya Mungu, lakini anajua kuwa hayakuwa ni ya kweli.

litakuwa ni kosa kubwa kuadhibiwa na waamuzi

"Litakuwa ni kosa ambalo kwa ajili yake waamuzi watakuwa sahihi kuniad

Kwa kuwa ni moto ambao unateketeza kila kitu kwa uharibifu, na kwamba utaunguza mavuno yangu yote

Ayubu anatia mkazo jinsi dhambi ya uzinzi iilivyo ya hatari na kuangamiza.