forked from WA-Catalog/sw_tn
434 B
434 B
Maelezo ya jumla
Ayubu anaendelea kufafanua hali ambazo alistahili kupata hukumu ya Mungu, lakini anajua kuwa hayakuwa ni ya kweli.
litakuwa ni kosa kubwa kuadhibiwa na waamuzi
"Litakuwa ni kosa ambalo kwa ajili yake waamuzi watakuwa sahihi kuniad
Kwa kuwa ni moto ambao unateketeza kila kitu kwa uharibifu, na kwamba utaunguza mavuno yangu yote
Ayubu anatia mkazo jinsi dhambi ya uzinzi iilivyo ya hatari na kuangamiza.