sw_tn/job/30/07.md

239 B

walilia kama punda

"walilia kwa kupata njaa"

walikuwa uzao wa wapumbavu, naam, wa watu wasiofaa

"walitenda kama watu wasiokuwa na akili"

walifukuzwa kwa mijeredi watoke kwenye nchi

"walifukuzwa watoke nje ya nchi kama waharifu"