sw_tn/job/30/07.md

12 lines
239 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# walilia kama punda
"walilia kwa kupata njaa"
# walikuwa uzao wa wapumbavu, naam, wa watu wasiofaa
"walitenda kama watu wasiokuwa na akili"
# walifukuzwa kwa mijeredi watoke kwenye nchi
"walifukuzwa watoke nje ya nchi kama waharifu"