forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
645 B
Markdown
20 lines
645 B
Markdown
# Maelezoa ya jumla
|
|
|
|
katika mistari ya 18-28 Ayubu anasimulia mambo ambayo alifanya kabla mambo mabaya hajatokea kwake.
|
|
|
|
# nilivunja taya za ... nilimng'oa mwathirika
|
|
|
|
" niliwafanya dhalimu waache kuwatesa watu, kam mtu anayevunja taya la mnyama mwitu na kuokoa mhanga kutoka katika meno yake"
|
|
|
|
# nitakufa katika kiota changu
|
|
|
|
" nitakufa kwenye nyumba yangu pamoja na familia yangu" au "nitakufa katika usalama wa nyumbani kwangu"
|
|
|
|
# nitazidisha siku zangu kama mchanga
|
|
|
|
"nitaishi maisha marefu" au "nitaishi miaka mingi "
|
|
|
|
# Mizizi yangu ... matawi yangu
|
|
|
|
Ayubu anaongea juu ya nguvu zake, anasema yeye ni kama mti imara uliomwagiliwa vizuri.
|