sw_tn/job/29/17.md

645 B

Maelezoa ya jumla

katika mistari ya 18-28 Ayubu anasimulia mambo ambayo alifanya kabla mambo mabaya hajatokea kwake.

nilivunja taya za ... nilimng'oa mwathirika

" niliwafanya dhalimu waache kuwatesa watu, kam mtu anayevunja taya la mnyama mwitu na kuokoa mhanga kutoka katika meno yake"

nitakufa katika kiota changu

" nitakufa kwenye nyumba yangu pamoja na familia yangu" au "nitakufa katika usalama wa nyumbani kwangu"

nitazidisha siku zangu kama mchanga

"nitaishi maisha marefu" au "nitaishi miaka mingi "

Mizizi yangu ... matawi yangu

Ayubu anaongea juu ya nguvu zake, anasema yeye ni kama mti imara uliomwagiliwa vizuri.