forked from WA-Catalog/sw_tn
645 B
645 B
Maelezoa ya jumla
katika mistari ya 18-28 Ayubu anasimulia mambo ambayo alifanya kabla mambo mabaya hajatokea kwake.
nilivunja taya za ... nilimng'oa mwathirika
" niliwafanya dhalimu waache kuwatesa watu, kam mtu anayevunja taya la mnyama mwitu na kuokoa mhanga kutoka katika meno yake"
nitakufa katika kiota changu
" nitakufa kwenye nyumba yangu pamoja na familia yangu" au "nitakufa katika usalama wa nyumbani kwangu"
nitazidisha siku zangu kama mchanga
"nitaishi maisha marefu" au "nitaishi miaka mingi "
Mizizi yangu ... matawi yangu
Ayubu anaongea juu ya nguvu zake, anasema yeye ni kama mti imara uliomwagiliwa vizuri.