sw_tn/job/27/06.md

703 B

nashikamana na haki yangu

" mimi nimedhamiria kuendelea kusema ya kwamba ni mwenyehaki"

sitaiacha

" sitaacha kusema kuwa mimi ni mwenye haki"

mawazo yangu hayatanisuta

"hata katika mawazo yangu sitajishutumu mwenyewe"

Adui yangu awe...yule anayeinuka dhidi yangu awe

hivi vishazi viwili vina maana moja. Vinaonyesha hamu ya Ayubu kutaka jambo hili litokee

Adui yangu na awe kama mtu mwovu

" Adui yangu na aadhibiwe kama mtu mwovu " au "Mungu amuadhibu adui yangu kam anavyowaadhibu watu waovu"

Yule ainukaye dhidi yangu na awe kama mtu asiye haki

" yule anyeinuka kinyume nami aadhibiwe kama mtu asiye haki"

yeye ainukaye dhidi yangu

"Yeye anayenipinga" au " mshitaki wangu"