forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
703 B
Markdown
28 lines
703 B
Markdown
|
# nashikamana na haki yangu
|
||
|
|
||
|
" mimi nimedhamiria kuendelea kusema ya kwamba ni mwenyehaki"
|
||
|
|
||
|
# sitaiacha
|
||
|
|
||
|
" sitaacha kusema kuwa mimi ni mwenye haki"
|
||
|
|
||
|
# mawazo yangu hayatanisuta
|
||
|
|
||
|
"hata katika mawazo yangu sitajishutumu mwenyewe"
|
||
|
|
||
|
# Adui yangu awe...yule anayeinuka dhidi yangu awe
|
||
|
|
||
|
hivi vishazi viwili vina maana moja. Vinaonyesha hamu ya Ayubu kutaka jambo hili litokee
|
||
|
|
||
|
# Adui yangu na awe kama mtu mwovu
|
||
|
|
||
|
" Adui yangu na aadhibiwe kama mtu mwovu " au "Mungu amuadhibu adui yangu kam anavyowaadhibu watu waovu"
|
||
|
|
||
|
# Yule ainukaye dhidi yangu na awe kama mtu asiye haki
|
||
|
|
||
|
" yule anyeinuka kinyume nami aadhibiwe kama mtu asiye haki"
|
||
|
|
||
|
# yeye ainukaye dhidi yangu
|
||
|
|
||
|
"Yeye anayenipinga" au " mshitaki wangu"
|