sw_tn/job/25/04.md

896 B

Sentensi Unganishi

Bildadi anaendelea kuongea.

Mtu anawezaje ... Mungu? Je anawezaje aliyezaliwa ... kwake?

maswali haya mawili yematumika pamoja kusisitiza kwamba haiwezekani kwa mtu mwema kiasi cha kutosha mkwa Mungu

Basi mtu anawezaje kuwa mwenye haki kwa Mungu?

"Mtu hawezi kuwa mwenye haki kwa Mungu"

Je anawezaje yeye aliyezaliwa... kukubalika kwa Mungu?

" yeye ambaye amezaliwa na mwanake hawezi kuwa msafi au kukubalika kwake"

nyota si safi kwenye macho yake

"safi" maana yake "kamilifu" KTN: "anafikiri hata nyota hazina ukamilifu"

Jinsi gani mtu ... mwana wa mtu, ambaye ni mnyoo

hii mistari miwili inasema jambo moja na inatumika pamoja kukazia kuwa mtu si mkamilifu.

ambaye ni mnyoo

Bildadi anaeleza kwmba mwanadamu ni wa thamani ndogo kama minyoo. KTN: "ambaye hana thamani kama mnyoo"

mwana wa mtu

hii ni namna nyingine ya kumaanisha mtu. KTN: "Mtu"