forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
896 B
Markdown
32 lines
896 B
Markdown
|
# Sentensi Unganishi
|
||
|
|
||
|
Bildadi anaendelea kuongea.
|
||
|
|
||
|
# Mtu anawezaje ... Mungu? Je anawezaje aliyezaliwa ... kwake?
|
||
|
|
||
|
maswali haya mawili yematumika pamoja kusisitiza kwamba haiwezekani kwa mtu mwema kiasi cha kutosha mkwa Mungu
|
||
|
|
||
|
# Basi mtu anawezaje kuwa mwenye haki kwa Mungu?
|
||
|
|
||
|
"Mtu hawezi kuwa mwenye haki kwa Mungu"
|
||
|
|
||
|
# Je anawezaje yeye aliyezaliwa... kukubalika kwa Mungu?
|
||
|
|
||
|
" yeye ambaye amezaliwa na mwanake hawezi kuwa msafi au kukubalika kwake"
|
||
|
|
||
|
# nyota si safi kwenye macho yake
|
||
|
|
||
|
"safi" maana yake "kamilifu" KTN: "anafikiri hata nyota hazina ukamilifu"
|
||
|
|
||
|
# Jinsi gani mtu ... mwana wa mtu, ambaye ni mnyoo
|
||
|
|
||
|
hii mistari miwili inasema jambo moja na inatumika pamoja kukazia kuwa mtu si mkamilifu.
|
||
|
|
||
|
# ambaye ni mnyoo
|
||
|
|
||
|
Bildadi anaeleza kwmba mwanadamu ni wa thamani ndogo kama minyoo. KTN: "ambaye hana thamani kama mnyoo"
|
||
|
|
||
|
# mwana wa mtu
|
||
|
|
||
|
hii ni namna nyingine ya kumaanisha mtu. KTN: "Mtu"
|