forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
526 B
Markdown
20 lines
526 B
Markdown
# Sentensi Unganishi
|
|
|
|
Ayubu anaendelea kuongea
|
|
|
|
# kama povu juu ya uso wa maji
|
|
|
|
povu hudumu kwa muda mchache. Hii inasisitiza kuwa Mungu atasababisha waovu wapotee upesi.
|
|
|
|
# sehemu ya ardhi yao imelaaniwa
|
|
|
|
KTN: "Mungu hulaani sehemu ya ardhi ambayo wanamiliki"
|
|
|
|
# Kama ukame na joto huyeyusha...wale ambao wamefanya dhambi
|
|
|
|
Ayubu anasema kwamba wenye dhambi watapotelea kuzimu kwa njia ile ile kama vile theluji inavyoyeyuka na kupotea inapokuwa joto.
|
|
|
|
# ukame na joto
|
|
|
|
haya maneno mawili yanaelezea hali ya hewa inayofanana.
|