forked from WA-Catalog/sw_tn
526 B
526 B
Sentensi Unganishi
Ayubu anaendelea kuongea
kama povu juu ya uso wa maji
povu hudumu kwa muda mchache. Hii inasisitiza kuwa Mungu atasababisha waovu wapotee upesi.
sehemu ya ardhi yao imelaaniwa
KTN: "Mungu hulaani sehemu ya ardhi ambayo wanamiliki"
Kama ukame na joto huyeyusha...wale ambao wamefanya dhambi
Ayubu anasema kwamba wenye dhambi watapotelea kuzimu kwa njia ile ile kama vile theluji inavyoyeyuka na kupotea inapokuwa joto.
ukame na joto
haya maneno mawili yanaelezea hali ya hewa inayofanana.