sw_tn/job/24/18.md

526 B

Sentensi Unganishi

Ayubu anaendelea kuongea

kama povu juu ya uso wa maji

povu hudumu kwa muda mchache. Hii inasisitiza kuwa Mungu atasababisha waovu wapotee upesi.

sehemu ya ardhi yao imelaaniwa

KTN: "Mungu hulaani sehemu ya ardhi ambayo wanamiliki"

Kama ukame na joto huyeyusha...wale ambao wamefanya dhambi

Ayubu anasema kwamba wenye dhambi watapotelea kuzimu kwa njia ile ile kama vile theluji inavyoyeyuka na kupotea inapokuwa joto.

ukame na joto

haya maneno mawili yanaelezea hali ya hewa inayofanana.