sw_tn/job/23/15.md

24 lines
656 B
Markdown

# Sentensi Unganishi
Ayubu anaendelea kuongea
# Maelezo ya Jumla
mistari hii kila mmoja upo katika muundo sambamba ili kusisitiza wazo kuu analotoa Ayubu.
# maana Mungu ameufanya moyo wangu dhaifu; mwenyezi amenitaabisha
Hii mistari miwili inamaanisha jambo moja na inasisitiza kuwa Ayubu anamwogopa sana Mungu.
# ameufanya moyo wangu dhaifu
mtu ambaye moyo wake ni dhaifu ni yule ambaye tishika au kujaa hofu.KTN " amenifanya niogope"
# sikufikishwa mwisho kwa giza
inaweza kumaanisha 1) "giza nene mbele yangu halikufanya ninyamaze" au 2) "siyo giza lilonitupa nje" au "Mungu amenikatilia mbali, wala siyo giza"
# Uso wangu
inamaanisha "mimi"