sw_tn/job/23/15.md

656 B

Sentensi Unganishi

Ayubu anaendelea kuongea

Maelezo ya Jumla

mistari hii kila mmoja upo katika muundo sambamba ili kusisitiza wazo kuu analotoa Ayubu.

maana Mungu ameufanya moyo wangu dhaifu; mwenyezi amenitaabisha

Hii mistari miwili inamaanisha jambo moja na inasisitiza kuwa Ayubu anamwogopa sana Mungu.

ameufanya moyo wangu dhaifu

mtu ambaye moyo wake ni dhaifu ni yule ambaye tishika au kujaa hofu.KTN " amenifanya niogope"

sikufikishwa mwisho kwa giza

inaweza kumaanisha 1) "giza nene mbele yangu halikufanya ninyamaze" au 2) "siyo giza lilonitupa nje" au "Mungu amenikatilia mbali, wala siyo giza"

Uso wangu

inamaanisha "mimi"