forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
481 B
Markdown
12 lines
481 B
Markdown
# Elifazi Mtemani, Bildadi Mshuhi, na Sofari Mnaamathi
|
|
|
|
Elifazi, Bildadi, na Sofari ni majina ya wanaume. Temani ulikuwa mji katika Edomu. Washuhi ni uzao wa Ibrahimu na Ketura (tazama Mwanzo 25: 1). Naamathi ulikuwa mji katika Kanaani.
|
|
|
|
# Wakatenga muda
|
|
|
|
"walikubaliana juu ya wakati"
|
|
|
|
# kuomboleza naye na kumfariji.
|
|
|
|
Hapa neno "omboleza" na "fariji" yana maana sawa. Rafikize wanajaribu kumfariji Ayubu na kuomboleza naye. "kuhuzunika na Ayubu ili kusaidia kupoza mateso yake."
|