sw_tn/job/02/11.md

481 B

Elifazi Mtemani, Bildadi Mshuhi, na Sofari Mnaamathi

Elifazi, Bildadi, na Sofari ni majina ya wanaume. Temani ulikuwa mji katika Edomu. Washuhi ni uzao wa Ibrahimu na Ketura (tazama Mwanzo 25: 1). Naamathi ulikuwa mji katika Kanaani.

Wakatenga muda

"walikubaliana juu ya wakati"

kuomboleza naye na kumfariji.

Hapa neno "omboleza" na "fariji" yana maana sawa. Rafikize wanajaribu kumfariji Ayubu na kuomboleza naye. "kuhuzunika na Ayubu ili kusaidia kupoza mateso yake."