forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
942 B
Markdown
36 lines
942 B
Markdown
# Je hata sasa wewe unashikamana na utimilifu wako?
|
|
|
|
Hili swali la kejeli kwa kweli linatengeneza taarifa. Tafasiri kama katika 1: 6. "Angalia mtumishi wangu Ayubu."
|
|
|
|
# Umkufuru Mungu
|
|
|
|
"Kumkataa Mungu"
|
|
|
|
# unaongea kama mmoja wa hao wanawake wapumbavu
|
|
|
|
Ayubu akasema unaongea kama mwanamke mpumbavu. "Unaongea kana kwamba wewe ni mwanamke mpumbavu."
|
|
|
|
# Je sisi tupate mema toka kwa Mungu na tusipate mabaya?
|
|
|
|
Swali hili la kejeli kwa kweli linawasilisha taarifa. "Bila shaka lazima tungelipata mabaya kutoka kwa Mungu pamoja na mazuri."
|
|
|
|
# tupate mema
|
|
|
|
"kunufaika na mambo yote mazuri"
|
|
|
|
# mema
|
|
|
|
Hili linawakilisha mambo yote mazuri ambayo Mungu hutupa.
|
|
|
|
# tupate mabaya
|
|
|
|
"teseka na mateso yote mabaya bila kulalamika"
|
|
|
|
# mabaya
|
|
|
|
Hili linawakilisha mambo yote mabaya ambayo Mungu hufanya au huruhusu ili sisi tupate maarifa.
|
|
|
|
# tenda dhambi kwa midomo yake.
|
|
|
|
Hapa "midomo" inawakilisha tendo la kuongea. "dhambi kusema kwa kushindana na Mungu"
|