sw_tn/job/02/09.md

942 B

Je hata sasa wewe unashikamana na utimilifu wako?

Hili swali la kejeli kwa kweli linatengeneza taarifa. Tafasiri kama katika 1: 6. "Angalia mtumishi wangu Ayubu."

Umkufuru Mungu

"Kumkataa Mungu"

unaongea kama mmoja wa hao wanawake wapumbavu

Ayubu akasema unaongea kama mwanamke mpumbavu. "Unaongea kana kwamba wewe ni mwanamke mpumbavu."

Je sisi tupate mema toka kwa Mungu na tusipate mabaya?

Swali hili la kejeli kwa kweli linawasilisha taarifa. "Bila shaka lazima tungelipata mabaya kutoka kwa Mungu pamoja na mazuri."

tupate mema

"kunufaika na mambo yote mazuri"

mema

Hili linawakilisha mambo yote mazuri ambayo Mungu hutupa.

tupate mabaya

"teseka na mateso yote mabaya bila kulalamika"

mabaya

Hili linawakilisha mambo yote mabaya ambayo Mungu hufanya au huruhusu ili sisi tupate maarifa.

tenda dhambi kwa midomo yake.

Hapa "midomo" inawakilisha tendo la kuongea. "dhambi kusema kwa kushindana na Mungu"