sw_tn/job/02/07.md

476 B

Kisha Shetani akatoka mbele ya uso wa BWANA.

Tafasiri kama katika 1: 9.

akampiga

"kushambuliwa" au "athiriwa na"

majipu mabaya

makubwa, yanayowasha na maambukizi machungu ya ngozi

kipande cha kigae kujikunia

kusugua mikwaruzo ya ngozi ili kupunguza mwasho.

akaketi chini majivuni.

Hii yawezekana inahusiana na eneo ambalo takataka hutupwa na pengine huchomwa. kukaa katika eneo kama hilo ilikuwa alama ya maombolezo mazito. "kukaa kwenye rundo la takataka"