forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
476 B
Markdown
20 lines
476 B
Markdown
|
# Kisha Shetani akatoka mbele ya uso wa BWANA.
|
||
|
|
||
|
Tafasiri kama katika 1: 9.
|
||
|
|
||
|
# akampiga
|
||
|
|
||
|
"kushambuliwa" au "athiriwa na"
|
||
|
|
||
|
# majipu mabaya
|
||
|
|
||
|
makubwa, yanayowasha na maambukizi machungu ya ngozi
|
||
|
|
||
|
# kipande cha kigae kujikunia
|
||
|
|
||
|
kusugua mikwaruzo ya ngozi ili kupunguza mwasho.
|
||
|
|
||
|
# akaketi chini majivuni.
|
||
|
|
||
|
Hii yawezekana inahusiana na eneo ambalo takataka hutupwa na pengine huchomwa. kukaa katika eneo kama hilo ilikuwa alama ya maombolezo mazito. "kukaa kwenye rundo la takataka"
|