forked from WA-Catalog/sw_tn
476 B
476 B
Kisha Shetani akatoka mbele ya uso wa BWANA.
Tafasiri kama katika 1: 9.
akampiga
"kushambuliwa" au "athiriwa na"
majipu mabaya
makubwa, yanayowasha na maambukizi machungu ya ngozi
kipande cha kigae kujikunia
kusugua mikwaruzo ya ngozi ili kupunguza mwasho.
akaketi chini majivuni.
Hii yawezekana inahusiana na eneo ambalo takataka hutupwa na pengine huchomwa. kukaa katika eneo kama hilo ilikuwa alama ya maombolezo mazito. "kukaa kwenye rundo la takataka"