sw_tn/jhn/21/intro.md

333 B

Yohana 21 Maelezo ya Jumla

Mifano muhima ya usemi katika sura hii

Mifano

Yesu anatumia mifano mingi ya uchungaji. Kwa mfano, "kulisha kondoo wangu," "chunga kondoo wangu" na "kulisha kondoo wangu." Petro sasa angekuwa mchungaji wa watu wa Mungu.

__<< | __