sw_tn/jhn/19/12.md

24 lines
631 B
Markdown

# ajaifanyaye kuwa mfalme
"madai ya kuwa yeye ni mfalme"
# akamleta Yesu nje
Hii inamaanisha kuwa aliwaagiza askari kumleta Yesu nje il ikumwonyesha kwa makutano.
# akakaa
Watu wakubwa walikaa wakati watu wengine amabao si wskubwa walisimama.
# Kwenye kiti cha hukumu
Hiki ni kiti maalumu ambacho watu mhimu walikaa wakati wa kufanya maamuzi ya kiofisi. Utamaduni wako unaweza kuwa na njia tofauti wautaratibu huu.
# Fuvu la kichwa
Hili ni eneo maalumu ambalo watu maalumu ndio wsalioruhusiwa kupaingia, Utamaduni wako unaweza kuwa na maeneo maalumu kama hili.
# Kihebrania
Hii ilikuwa lugha ambayo wahebrania waliongea