forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
631 B
Markdown
24 lines
631 B
Markdown
|
# ajaifanyaye kuwa mfalme
|
||
|
|
||
|
"madai ya kuwa yeye ni mfalme"
|
||
|
|
||
|
# akamleta Yesu nje
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kuwa aliwaagiza askari kumleta Yesu nje il ikumwonyesha kwa makutano.
|
||
|
|
||
|
# akakaa
|
||
|
|
||
|
Watu wakubwa walikaa wakati watu wengine amabao si wskubwa walisimama.
|
||
|
|
||
|
# Kwenye kiti cha hukumu
|
||
|
|
||
|
Hiki ni kiti maalumu ambacho watu mhimu walikaa wakati wa kufanya maamuzi ya kiofisi. Utamaduni wako unaweza kuwa na njia tofauti wautaratibu huu.
|
||
|
|
||
|
# Fuvu la kichwa
|
||
|
|
||
|
Hili ni eneo maalumu ambalo watu maalumu ndio wsalioruhusiwa kupaingia, Utamaduni wako unaweza kuwa na maeneo maalumu kama hili.
|
||
|
|
||
|
# Kihebrania
|
||
|
|
||
|
Hii ilikuwa lugha ambayo wahebrania waliongea
|