sw_tn/jhn/19/12.md

631 B

ajaifanyaye kuwa mfalme

"madai ya kuwa yeye ni mfalme"

akamleta Yesu nje

Hii inamaanisha kuwa aliwaagiza askari kumleta Yesu nje il ikumwonyesha kwa makutano.

akakaa

Watu wakubwa walikaa wakati watu wengine amabao si wskubwa walisimama.

Kwenye kiti cha hukumu

Hiki ni kiti maalumu ambacho watu mhimu walikaa wakati wa kufanya maamuzi ya kiofisi. Utamaduni wako unaweza kuwa na njia tofauti wautaratibu huu.

Fuvu la kichwa

Hili ni eneo maalumu ambalo watu maalumu ndio wsalioruhusiwa kupaingia, Utamaduni wako unaweza kuwa na maeneo maalumu kama hili.

Kihebrania

Hii ilikuwa lugha ambayo wahebrania waliongea