forked from WA-Catalog/sw_tn
631 B
631 B
ajaifanyaye kuwa mfalme
"madai ya kuwa yeye ni mfalme"
akamleta Yesu nje
Hii inamaanisha kuwa aliwaagiza askari kumleta Yesu nje il ikumwonyesha kwa makutano.
akakaa
Watu wakubwa walikaa wakati watu wengine amabao si wskubwa walisimama.
Kwenye kiti cha hukumu
Hiki ni kiti maalumu ambacho watu mhimu walikaa wakati wa kufanya maamuzi ya kiofisi. Utamaduni wako unaweza kuwa na njia tofauti wautaratibu huu.
Fuvu la kichwa
Hili ni eneo maalumu ambalo watu maalumu ndio wsalioruhusiwa kupaingia, Utamaduni wako unaweza kuwa na maeneo maalumu kama hili.
Kihebrania
Hii ilikuwa lugha ambayo wahebrania waliongea