sw_tn/jhn/18/28.md

338 B

Maelezo ya jumla:

Askari na washitaki wa yesu wanamleta kwa Kayafa. Mstari wa 28 unaeleza sababu zilizowafanya wasiingie katika Praitorio.

Kama huyu mtu asingekuwa mtenda maovu, tusingemleta kwako.

Huyu mtu ni mtenda maovu, na ni lazima tumlete kwako ili aadhibiwe"

Kumleta

Hili neno "kumleta" linamaanisha kumkabidhi kwa adui