forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
338 B
Markdown
12 lines
338 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Askari na washitaki wa yesu wanamleta kwa Kayafa. Mstari wa 28 unaeleza sababu zilizowafanya wasiingie katika Praitorio.
|
||
|
|
||
|
# Kama huyu mtu asingekuwa mtenda maovu, tusingemleta kwako.
|
||
|
|
||
|
Huyu mtu ni mtenda maovu, na ni lazima tumlete kwako ili aadhibiwe"
|
||
|
|
||
|
# Kumleta
|
||
|
|
||
|
Hili neno "kumleta" linamaanisha kumkabidhi kwa adui
|