sw_tn/jhn/18/10.md

452 B

Markusi

Markusi ni mtumishi wa kiume wa Kuhani Mkuu

Ala

Huu ni mkoba wakisu au sime unauzuia kisu kisimkate mwenye nacho

Kikombe

Hii inamaanisha 1) Kiasi cha mateso ambayo Yesu alitakiwa kuyapokea 2) Gadhabu ya Mungu ambayo Yesu ilimlazimu kuivumilia ili kuwalkomboa watu wake.

Je nisikinywee kikombe ambacho Baba yangu amenipa?

Yesu anahoji hili swali kuonesha msisitizo kwamba lazima ateseke.

Baba

Hiki ni cheo muhimu cha Mungu.